iqna

IQNA

abu sharif
TEHRAN (IQNA)- Nasser Abu Sharif, mwakilishi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono mkubwa zaidi wa harakati za kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474045    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26